Jeremiah 22:18-19

18Kwa hiyo hili ndilo asemalo Bwana kuhusu Yehoyakimu mwana wa Yosia mfalme wa Yuda:

“Hawatamwombolezea wakisema:
‘Ole, ndugu yangu! Ole, umbu langu!’
Hawatamwombolezea wakisema:
‘Ole, bwana wangu! Ole, fahari yake!’
19 aAtazikwa maziko ya punda:
ataburutwa na kutupwa
nje ya malango ya Yerusalemu.”
Copyright information for SwhNEN